Detailed Notes on hakiki ndoto yako
Muda wa kufanya mambo mengine unayodhani ni ya ziada uwe mdogo ili usiathiri ufikiwaji wa malengo yako. Na muda huo usipopatikana usisikitike kwakua hayo mambo mengine yapo nje ya malengo yako. SWALI : Ninatamani kwenda kusomea udaktari , lakini nina mashaka labda sio mapenzi ya Mungu kwangu, inanifanya nisiwe na maamuzi ya kueleweka..Naomba ushau